PAGES

Monday, May 8, 2023

UTALII UKAGULUNI UMESHAFUNGULIWA TWENDENI TUKATALII WILAYA YA KILOSA NA GAIRO MKOANI MOROGORO.

 PICHA KATIKA MATUKIO YA UTALII UKAGULUNI.

Wilaya ya Kilosa na Gairo zilizopo Mkoani Morogoro zimebarikiwa kuwa na vivutio vingi sana ambavyo kila mtu angependa kuviona, nakukaribisha kuona matukio katika picha yatakayokuonesha vivutio vya kitalii vilivyopo katika wilaya hizi. Karibu sana. 

KATI YA MAMBO UTAKAYOYAONA:-

1. Utalii kwenye Shamba la Ukagulu Gairo Mandege,

2. Mafufumo Waterfalls

3. Vipepeo wazuri na Vinyonga wenye mapembe

4. Mandhari nzuri ya Kubalizi Milima ya Rubeho Mamiwa na Nongwe.

5. Wanyama wazuri Pamoja na Bush baby wa kitofauti.


















YOHANA MSUNHILE

MKUTANO MKUU WA WAKAGULU WA MWAKA 2022










UTALII UKAGULUNI UMESHAFUNGULIWA TWENDENI TUKATALII WILAYA YA KILOSA NA GAIRO MKOANI MOROGORO.

 PICHA KATIKA MATUKIO YA UTALII UKAGULUNI. Wilaya ya Kilosa na Gairo zilizopo Mkoani Morogoro zimebarikiwa kuwa na vivutio vingi sana ambavy...