PAGES

WAKAGULU

 

LIFAHAMU KABILA LA WAKAGULU

        Karibu katika Blog hii inayoeleza juu ya Kabila la Wakagulu ikiwa ni pamoja na kufahamu historia yao kuhusu wapi walitokea na walifikaje katika Mkoa wa Morogoro hasa katika Wilaya ya Kilosa na Gairo. Utajifunza mambo mengi yawahusuyo Wakagulu ikiwa ni pamoja na Mila, Desturi na Tamaduni zao pamoja na  jinsi Koo zao zilivyotokea na zina umuhimu gani katika maisha yao. Aidha, katika Blog hii lugha tatu zitatumika ambazo ni Kikagulu, Kiswahili na Kingereza. Ungana nami kuyafahamu hayo yote.

        Wakagulu ni kabila la Tanzania wanaoishi katika Mkoa wa Morogoro, Wilaya ya Kilosa na Gairo. Lugha yao ni Kikagulu. Wakagulu ni mojawapo ya makabila makubwa Mkoani Morogoro, Aidha wanapatikana pia katika  Wilaya Kongwa, Kiteto na Mpwapwa Kiteto Mkoani Dodoma na sasa. wanatanuka zaidi maeneo ya Handeni na Mvomero Mkoani Tanga.

 

KARIBU UJIFUNZE LUGHA YA KIKAGULU

No comments:

Post a Comment

UTALII UKAGULUNI UMESHAFUNGULIWA TWENDENI TUKATALII WILAYA YA KILOSA NA GAIRO MKOANI MOROGORO.

 PICHA KATIKA MATUKIO YA UTALII UKAGULUNI. Wilaya ya Kilosa na Gairo zilizopo Mkoani Morogoro zimebarikiwa kuwa na vivutio vingi sana ambavy...